Publication
Hotuba ya Mheshimiwa Mizengo P. Pinda (Mb), Waziri Mkuu Kwenye Uzinduzi wa Kamisheni Mpya ya Tume ya Kudhibiti
Abstract
Kwanza kabisa napenda kumshukuru, Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kukutana leo kwa shughuli hii muhimu ya Kuzindua Kamisheni Mpya ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS)

